Sauti Sol
Kuliko Jana

Song :
E
Intro :
F   C   G   Am 
                 F
Bwana ni mwokozi wangu, 
                  C
Tena ni kiongozi wangu, 
        G             Am
ananipenda leo kuliko jana 
                     F
Baraka zake hazikwishi, 
                        C
si kama binadamu habadiliki, 
            G             Am
ananipenda leo kuliko jana, 

         F            C
kuliko jana kuliko jana 
         G
yesu nipende, 
            Am
leo kuliko jana 
        F            C
kuliko jana kuliko jana 
         G
yesu nipende, 
            Am
leo kuliko jana

           F           C
nakuomba mungu, uwasamehe, 
            G                                 Am
wangalijua jinsi unavyonipenda mimi wasingenisema 
             F           C
na maadui wangu, nawaombea, 
          G                          Am
maisha marefu wazidi kukuona ukinibariki, 
             F                    C
ujue binadamu, ni watu wa ajabu sana, 
            G                           Am
walimkana yesu mara tatu kabla jogoo kuwika, 
           F                     C
ujue binadamu, ni watu wa ajabu sana, 
            G                      
walimsulubisha yesu masiah, 
         Am
bila kusita 

                F
Wewe ndio natengemea, 
                          C
kufa kupona baba nakutengemea, 
             G
Chochote kitanikazia, 
                       Am
kuingia mbinguni utaniondolea x4 

                          F
na bwana ni mwokozi wangu amen 
                          C
na tena ni mkombozi wangu, amen 
            G                  Am
eeh ananipenda leo kuliko jana, amen 
                          F
Baraka zake hazikwishi, amen 
                          C
Si kama binadamu habadiliki, amen 
            G                  Am
Ananipenda, leo kuliko jana, amen 
        F            C
kuliko jana kuliko jana 
         G
yesu nipende, 
            Am
leo kuliko jana
        F            C
kuliko jana kuliko jana 
         G
yesu nipende, 
            Am
leo kuliko jana